Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 4

Mithali 4:2-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Mimi ninawapa mafundisho mazuri; msiyaache mafundisho yangu.
3Mimi nilikuwa mwana kwa baba yangu, mpole na mtoto pekee kwa mama yangu,
4baba alinifundisha akiniambia, “Moyo wako uzingatie sana maneno yangu; shika amri zangu nawe uishi.
5Jipatie hekima na ufahamu; usisahau na kuyakataa maneno ya kinywa changu;
6usiiache hekima nayo itakulinda; ipenda nayo itakuhifadhi salama.
7Hekima ni kitu cha muhimu sana, hivyo jipatie hekima na tumia namna zote kuweza kupata ufahamu.
8Tunza hekima nayo itakutukuza; ikumbatie nayo itakuheshimu.

Read Mithali 4Mithali 4
Compare Mithali 4:2-8Mithali 4:2-8