Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 4

Mithali 4:14-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Usifuate njia ya waovu wala usiende katika njia ya watendao uovu.
15Jiepushe nayo, usipite katika njia hiyo; geuka na upite njia nyingine.
16Maana hawawezi kulala mpaka wafanye ubaya na hupotewa na usingizi hadi wasababishe mtu kujikwaa.

Read Mithali 4Mithali 4
Compare Mithali 4:14-16Mithali 4:14-16