Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 4

Mithali 4:13-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Shika mwongozo wala usiuache, utakuongoza, maana ni uzima wako.
14Usifuate njia ya waovu wala usiende katika njia ya watendao uovu.
15Jiepushe nayo, usipite katika njia hiyo; geuka na upite njia nyingine.
16Maana hawawezi kulala mpaka wafanye ubaya na hupotewa na usingizi hadi wasababishe mtu kujikwaa.
17Maana wao hula mkate wa uovu na hunywa divai ya vurugu.

Read Mithali 4Mithali 4
Compare Mithali 4:13-17Mithali 4:13-17