Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 4

Mithali 4:11-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11Ninakuelekeza katika njia ya hekima, nimekuongoza katika mapito yaliyonyooka.
12Unapotembea, hakuna atakayesimama katika njia yako na kama ukikimbia hutajikwaa.
13Shika mwongozo wala usiuache, utakuongoza, maana ni uzima wako.
14Usifuate njia ya waovu wala usiende katika njia ya watendao uovu.
15Jiepushe nayo, usipite katika njia hiyo; geuka na upite njia nyingine.
16Maana hawawezi kulala mpaka wafanye ubaya na hupotewa na usingizi hadi wasababishe mtu kujikwaa.

Read Mithali 4Mithali 4
Compare Mithali 4:11-16Mithali 4:11-16