Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 3

Mithali 3:8-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Itakuponya mwili wako na kukuburudisha mwili wako.
9Mheshimu Yehova kwa utajiri wako na kwa malimbuko ya mazao kwa kila unachozalisha,
10na ndipo ghala zako zitajaa na mapipa makubwa yatafurika kwa divai mpya.
11Mwanangu, usidharau kuadibishwa na Yohova na wala usichukie karipio lake,
12maana Yehova huwaadibisha wale wapendao, kama baba anavyoshughulika kwa mtoto wake ampendezaye.
13Yeye apataye hekima anafuraha, naye hupata ufahamu.
14Kwani katika hekima unapata manufaa kuliko ukibadilisha kwa fedha na faida yake inafaa zaidi kuliko dhahabu.
15Hekima inathamani zaidi kuliko kito, na hakuna unachokitamani kinaweza kulinganishwa na hekima.

Read Mithali 3Mithali 3
Compare Mithali 3:8-15Mithali 3:8-15