4Ndipo utapata kibali na heshima mbele Mungu na wanadamu.
5Mtegemee Yehova kwa moyo wako wote na wala usitegemee ufahamu wako mwenyewe,
6katika njia zako zote mkiri Yeye na yeye atayanyosha mapito yako.
7Usiwe mwenye busara machoni pako mwenyewe; mche Yehova na jiepushe na uovu.
8Itakuponya mwili wako na kukuburudisha mwili wako.
9Mheshimu Yehova kwa utajiri wako na kwa malimbuko ya mazao kwa kila unachozalisha,