25Usitishwe na hofu ya ghafula au uharibifu uliosababishwa na waovu unapotokea,
26kwa maana Yehova utakuwa upande wako na ataulinda mguu wako usinaswe kwenye mtego.
27Usizuie mema kwa wale wanaoyastahili, wakati utendaji upo ndani ya mamlaka yako.
28Jirani yako usimwambie, “Nenda, na uje tena, na kesho nitakupa,” wakati pesa unazo.
29Usiweke mpango wa kumdhuru jirani yako- anayeishi jirani nawe na yeye anakuamini.
30Usishindane na mtu pasipo sababu, ikiwa hajafanya chochote kukudhuru.
31Usimhusudu mtu jeuri au kuchagua njia zake zozote.