Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 3

Mithali 3:15-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Hekima inathamani zaidi kuliko kito, na hakuna unachokitamani kinaweza kulinganishwa na hekima.
16Yeye anasiku nyingi katika mkono wake wa kuume; na mkono wake wa kushoto ni utajiri na heshima.
17Njia zake ni njia za ukarimu na mapito yake ni amani.
18Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomshikilia, wale wanaomshikilia wanafuraha.
19Kwa hekima Yehova aliweka msingi wa dunia, kwa ufahamu aliziimarisha mbingu.
20Kwa maarifa yake vina vilipasuka na mawingu kudondosha umande wake.

Read Mithali 3Mithali 3
Compare Mithali 3:15-20Mithali 3:15-20