Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 31

Mithali 31:15-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Huamka wakati wa usiku na kuwapa chakula watu wa kaya yake, na kugawa kazi kwa watumishi wake wa kike.
16Hulifikiria shamba na kulinunua, kwa tunda la mikono yake hupanda shamba la mizabibu.

Read Mithali 31Mithali 31
Compare Mithali 31:15-16Mithali 31:15-16