Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 30

Mithali 30:22-27

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22mtumwa anapokuwa mfalme; mpumbavu anaposhiba vyakula;
23mwanamke anayechukiwa anapoolewa; kijakazi anapochukua nafasi ya mkuu wake.
24Vitu vinne duniani ni vidogo na bado vinabusara:
25mchwa ni viumbe ambao sio imara, lakini huandaa chakula chao wakati wa hari,
26Wibari siyo viumbe wenye nguvu, lakini hutengeneza makazi yake kwenye miamba.
27Nzige hawana mfalme, lakini wote wanamwendo wa mpangilio.

Read Mithali 30Mithali 30
Compare Mithali 30:22-27Mithali 30:22-27