Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 30

Mithali 30:1-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Maneno ya Aguri mwana wa Yake - mausia: Mtu huyu alimwambia Ithieli, kwa Ithiel na Ukali:
2Hakika nipo kama mnyama kuliko mwanadamu na sina ufahamu wa wanadamu.
3Sijajifunza hekima, wala sina maarifa ya Mtakatifu.

Read Mithali 30Mithali 30
Compare Mithali 30:1-3Mithali 30:1-3