Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 29

Mithali 29:8-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Mwenye dhihaka huutia moto mji, bali wale wenye busara huigeuza ghadhabu.
9Mtu mwenye busara anapojadiliana na mpumbavu, hughadhabika na kucheka, hakutakuwa na utulivu.
10Mkatili humchukia mwenye ukamilifu na hutafuta maisha ya mwenye haki.

Read Mithali 29Mithali 29
Compare Mithali 29:8-10Mithali 29:8-10