Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 28

Mithali 28:9-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Kama mtu atageuzia mbali sikio lake kusikia sheria, hata maombi yake ni chukizo.
10Yeye anayempotosha mwenye uadilifu katika njia ya uovu ataangukia kwenye shimo lake mwenyewe, bali wakamilifu watapata urithi mwema.
11Mtu tajiri anaweza kuwa mwenye hekima machoni pake mwenyewe, bali mtu masikini mwenye ufahamu atamtafuta.
12Kunapokuwa na ushindi kwa wenye kutenda haki, kunafuraha kuu, bali wanapoinuka waovu, watu hujificha wenyewe.

Read Mithali 28Mithali 28
Compare Mithali 28:9-12Mithali 28:9-12