Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 28

Mithali 28:7-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Yeye anayetunza sheria ni mwana mwenye ufahamu, bali mwenye ushirika na walafi humwaibisha baba yake.
8Anayepata mafanikio kwa kutoza riba kubwa anakusanya utajiri wake kwa ajili ya mwingine ambaye atakuwa na huruma kwa watu masikini.
9Kama mtu atageuzia mbali sikio lake kusikia sheria, hata maombi yake ni chukizo.

Read Mithali 28Mithali 28
Compare Mithali 28:7-9Mithali 28:7-9