Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 28

Mithali 28:14-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Anafuraha ambaye huishi kwa unyenyekevu, bali anayeufanya moyo wake ataanguka katika taabu.
15Kama simba anayeunguruma au dubu anayeshabulia ni kama mtawala mwovu juu ya watu masikini.
16Mtawala anayekosa ufahamu ni mkandamizaji katili, bali mwenye kuchukia aibu atadumu katika siku zake.
17Kama mtu anahatia kwa sababu amemwaga damu ya mtu, atakuwa mkimbizi hadi kifo na hakuna atakayemsaidia.

Read Mithali 28Mithali 28
Compare Mithali 28:14-17Mithali 28:14-17