Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 28

Mithali 28:11-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11Mtu tajiri anaweza kuwa mwenye hekima machoni pake mwenyewe, bali mtu masikini mwenye ufahamu atamtafuta.
12Kunapokuwa na ushindi kwa wenye kutenda haki, kunafuraha kuu, bali wanapoinuka waovu, watu hujificha wenyewe.
13Yeye afichaye dhambi zake hatafanikiwa, bali mwenye kutubu na kuziacha ataonyeshwa rehema.

Read Mithali 28Mithali 28
Compare Mithali 28:11-13Mithali 28:11-13