23Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
24maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
25Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.
26Wanakondoo watakupatia mavazi yako na mbuzi watakupatia gharama ya shamba.