Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 27

Mithali 27:15-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Mke mgomvi ni kama siku ya manyunyu ya mvua ya daima;
16kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kushika mafuta kwa mkono wako wa kulia.
17Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.

Read Mithali 27Mithali 27
Compare Mithali 27:15-17Mithali 27:15-17