24Yule ambaye huwachukia wengine huficha hisia zake kwa midomo na hufunika uongo ndani yake mwenyewe.
25Ataongea kwa huruma, lakini usimwamini, maana kuna machukizo saba kwenye moyo wake.
26Ingawa chuki zake zimefunikwa kwa udanganyifu, uovu wake utakuwa wazi katika kusanyiko.