Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 26

Mithali 26:20-21

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Kwa kukosa kuni, moto huzimika; na pale pasipo na mmbea ugomvi hukoma.
21Mkaa ni kwa kuwasha makaa na kuni kwa ajili ya moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuwasha ugomvi.

Read Mithali 26Mithali 26
Compare Mithali 26:20-21Mithali 26:20-21