Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 26

Mithali 26:12-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Je unamwona mtu mwenye busara katika macho yake mwenyewe? Mpumbavu anamatumaini zaidi kuliko yeye.
13Mtu mvivu husema “Kuna simba kwenye barabara! Kuna simba katikati ya njia kuu!”
14Kama mlango unavyogeuka kwenye bawaba zake, ndivyo alivyo mtu mvivu kwenye kitanda chake.
15Mtu mvivu hutia mkono wake kwenye sufuria na bado hana nguvu kuunyanyua kwenda kwenye kinywa chake.

Read Mithali 26Mithali 26
Compare Mithali 26:12-15Mithali 26:12-15