Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 25

Mithali 25:19-21

Help us?
Click on verse(s) to share them!
19Kumtumaini mtu asiye mwaminifu wakati wa taabu ni kama jino bovu au mguu unaoteleza.
20Kama mtu anayevua nguo katika hali ya baridi, au kama siki iliyotiwa kwenye magadi, ndivyo alivyo anayeimba wimbo kwa mwenye moyo mzito.
21Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale na kama ana kiu, mpe maji ya kunywa,

Read Mithali 25Mithali 25
Compare Mithali 25:19-21Mithali 25:19-21