Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 24

Mithali 24:7-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Hekima ipo juu sana kwa mpumbavu; hafumbui kinywa chake kwenye mlango.
8Kuna yule mwenye kupanga kufanya mabaya- watu wanamwita bwana wa njama.
9Mipango ya mpumbavu ni dhambi na watu humchukia mwenye dhihaka.
10Kama utakuwa dhaifu na mwenye kuogopa siku ya taabu, basi nguvu zako ni haba.

Read Mithali 24Mithali 24
Compare Mithali 24:7-10Mithali 24:7-10