Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 24

Mithali 24:31-32

Help us?
Click on verse(s) to share them!
31Miiba imeota kila sehemu, ardhi ilikuwa imefunikwa kwa upupu, na ukuta wake wa mawe ulikuwa umebomoka.
32Kisha nikaliona na kufikiria juu yake; nikatazama na kupokea mafundisho.

Read Mithali 24Mithali 24
Compare Mithali 24:31-32Mithali 24:31-32