3Kwa hekima nyumba hujengwa na kwa ufahamu huimarishwa.
4Kwa maarifa vyumba hujazwa vitu vyote vya thamani na utajiri wa kupendeza.
5Shujaa wa hekima ni imara, na mtu wa maarifa huongeza nguvu zake;
6maana kwa uongozi wa busara unaweza kufanya vita na kwa washauri wengi kuna ushindi.