Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 24

Mithali 24:18-21

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18au Yehova ataona na kutoridhika na kuondoa ghadhabu juu yake.
19Usifadhaike kwa sababu ya watenda mabaya, na wala usiwahusudu watu waovu,
20maana mtu mbaya hana matumaini na taa ya watu waovu itazimika.
21Mwanangu; mche Yehova, na umwogope mfalme, usishirikiane na watu wenye kuasi dhidi yao,

Read Mithali 24Mithali 24
Compare Mithali 24:18-21Mithali 24:18-21