33Macho yako yataona vitu vigeni na moyo wako utatamka vitu vya ukaidi.
34Utakuwa kama anayelala kwenye bahari au anayelala juu ya mlingoti.
35“Wamenipiga,” utasema, “lakini sikuumia. Wamenichapa, lakini sikuwa na hisia. Nitaamka lini? Nitatafuta kinywaji kingine.”