Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 23

Mithali 23:33-35

Help us?
Click on verse(s) to share them!
33Macho yako yataona vitu vigeni na moyo wako utatamka vitu vya ukaidi.
34Utakuwa kama anayelala kwenye bahari au anayelala juu ya mlingoti.
35“Wamenipiga,” utasema, “lakini sikuumia. Wamenichapa, lakini sikuwa na hisia. Nitaamka lini? Nitatafuta kinywaji kingine.”

Read Mithali 23Mithali 23
Compare Mithali 23:33-35Mithali 23:33-35