22Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
23maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
24Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
25au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.