17Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
18maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
19Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.