15Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
16Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
17Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,