6Kujipatia utajiri kwa ulimi wa uongo ni mvuke unaopita upesi na mtego ambao unafisha.
7Vurugu ya waovu itawaburuta mbali, maana wanakataa kutenda haki.
8Njia ya mwenye hatia ni ukatiri, bali mwenye usafi hutenda yaliyo ya haki.
9Bora kuishi kwenye kona ya juu darini kuliko katika nyumba pamoja na mke mgonvi.