Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 20

Mithali 20:20-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Kama mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itapulizwa katikati ya giza.
21Urithi uliopatikana mwanzoni kwa haraka utakuwa na mema kidogo mwishoni.
22Usiseme “Mimi nitakulipiza kwa kosa hili” Msubiri Yehova na yeye atakuokoa.

Read Mithali 20Mithali 20
Compare Mithali 20:20-22Mithali 20:20-22