Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 1

Mithali 1:27-30

Help us?
Click on verse(s) to share them!
27hofu ya kutisha itawapata kama tufani na maafa yatawakumba kama upepo wa kisulisuli, taabu na uchungu vitawapata.
28Halafu wataniita, nami sitawajibu; wataniita katika hali ya kukata tamaa lakini hawataniona.
29Kwa sababu wamechukia maarifa na hawakuchagua kuwa na hofu ya Yehova,
30hawakufuata mafundisho yangu na wakayadharau masahihisho yangu yote.

Read Mithali 1Mithali 1
Compare Mithali 1:27-30Mithali 1:27-30