27hofu ya kutisha itawapata kama tufani na maafa yatawakumba kama upepo wa kisulisuli, taabu na uchungu vitawapata.
28Halafu wataniita, nami sitawajibu; wataniita katika hali ya kukata tamaa lakini hawataniona.
29Kwa sababu wamechukia maarifa na hawakuchagua kuwa na hofu ya Yehova,
30hawakufuata mafundisho yangu na wakayadharau masahihisho yangu yote.