Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 1

Mithali 1:26-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
26Nitacheka katika taabu yenu, nitawadhihaki wakati wa kupatwa taabu-
27hofu ya kutisha itawapata kama tufani na maafa yatawakumba kama upepo wa kisulisuli, taabu na uchungu vitawapata.
28Halafu wataniita, nami sitawajibu; wataniita katika hali ya kukata tamaa lakini hawataniona.

Read Mithali 1Mithali 1
Compare Mithali 1:26-28Mithali 1:26-28