Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 1

Mithali 1:20-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Hekima inalia kwa sauti mtaani, inapaza sauti katika viwanja;
21katika mitaa inalia kwa sauti kuu, kwenye maingilio ya milango ya mji inasema
22“Mpaka lini enyi wajinga mtapenda kuwa wajinga? Mpaka lini enyi wenye dhihaka mtapenda dhihaka, na hadi lini enyi wapumbavu, mtachukia maarifa?
23Zingatia karipio langu; nitatoa mawazo yangu kwa ajili yenu; nitawafahamisha maneno yangu.
24Nimeita, nanyi mkakataa kusikiliza; nimeunyosha mkono wangu, wala hakuna aliyezingatia.

Read Mithali 1Mithali 1
Compare Mithali 1:20-24Mithali 1:20-24