Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 1

Mithali 1:18-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18Watu hawa huvizia kujiua wenyewe—wanatega mtego kwa ajili yao wenyewe.
19Ndivyo zilivyo njia za kila ambaye hupata utajiri kwa udhalimu; mapato ya udhalimu huondoa uhai wa wenye utajiri.
20Hekima inalia kwa sauti mtaani, inapaza sauti katika viwanja;

Read Mithali 1Mithali 1
Compare Mithali 1:18-20Mithali 1:18-20