18Watu hawa huvizia kujiua wenyewe—wanatega mtego kwa ajili yao wenyewe.
19Ndivyo zilivyo njia za kila ambaye hupata utajiri kwa udhalimu; mapato ya udhalimu huondoa uhai wa wenye utajiri.
20Hekima inalia kwa sauti mtaani, inapaza sauti katika viwanja;