Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 1

Mithali 1:11-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11Kama watasema, “haya tufuatae, tuvizie ili kufanya mauaji, tujifiche ili tuwashambulie watu wasio na hatia, pasipo sababu.
12Haya tuwameza wakiwa hai, kama kuzimu inavyowachukua wenye afya, na kuwa kama wale waangukao kwenye shimoni.
13Tutapata vitu vyote vya thamani; tutazijaza nyumba zetu vile tunavyoiba kwa wengine.
14Weka vitu vyako kwetu; tutakuwa na mfuko moja kwa pamoja.”

Read Mithali 1Mithali 1
Compare Mithali 1:11-14Mithali 1:11-14