Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 19

Mithali 19:22-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22Shauku ya mtu ni uaminifu na mtu masikini ni bora kuliko muongo.
23Kumheshimu Yehova huwaelekeza watu kwenye uzima; mwenye nayo atashibishwa na hatadhurika kwa madhara.
24Mtu goigoi huuzika mkono wake ndani ya dishi; hataurudisha juu ya kinywa chake.

Read Mithali 19Mithali 19
Compare Mithali 19:22-24Mithali 19:22-24