Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 19

Mithali 19:18-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18Mrudi mwanao wakati kuna matumaini na usiwe na shauku ya kumweka katika mauti.
19Mtu mwenye hasira kali lazima alipe adhabu; kama ukimwokoa, utafanya hivyo mara mbili.
20Sikiliza ushauri na ukubali maelekezo, ili uweze kuwa na hekima mwishoni mwa maisha yako.
21Moyoni mwa mtu kuna mipango mingi, bali kusudi la Yehova ndilo litakalo simama.
22Shauku ya mtu ni uaminifu na mtu masikini ni bora kuliko muongo.
23Kumheshimu Yehova huwaelekeza watu kwenye uzima; mwenye nayo atashibishwa na hatadhurika kwa madhara.
24Mtu goigoi huuzika mkono wake ndani ya dishi; hataurudisha juu ya kinywa chake.

Read Mithali 19Mithali 19
Compare Mithali 19:18-24Mithali 19:18-24