15Uvivu unamtupa mtu kwenye usingizi mzito, bali asiyetamani kufanya kazi atakwenda njaa.
16Yeye anayetii amri huyaongoza maisha yake, bali mtu asiyefikiri juu ya njia zake atakufa.
17Mwenye ukarimu kwa masikini humkopesha Yehova na atalipwa kwa kile alichofanya.