Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 19

Mithali 19:12-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Ghadhabu ya mfalme ni kama muungurumo wa simba kijana, bali fadhila yake ni kama umande kwenye majani.
13Mwana mpumbavu ni uharibifu kwa baba yake na mke mgomvi ni maji yanayochuruzika daima.

Read Mithali 19Mithali 19
Compare Mithali 19:12-13Mithali 19:12-13