Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 18

Mithali 18:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
4Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
5Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.

Read Mithali 18Mithali 18
Compare Mithali 18:3-5Mithali 18:3-5