3Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
4Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
5Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.