Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 18

Mithali 18:12-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
13Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
14Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?

Read Mithali 18Mithali 18
Compare Mithali 18:12-14Mithali 18:12-14