Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 17

Mithali 17:5-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Mwenye kumdhihaki masikini humtukana Muumba wake na anayefurahia msiba hatakosa adhabu.
6Wajukuu ni taji ya wazee na wazazi huleta heshima kwa watoto wao.
7Hotuba ya ushawishi haifai kwa mpumbavu; kidogo zaidi midomo ya uongo inafaa kwa ufalme.
8Rushwa ni kama jiwe la kiini macho kwa yule ambaye atoaye; yeye anayeiacha, hufanikiwa.

Read Mithali 17Mithali 17
Compare Mithali 17:5-8Mithali 17:5-8