Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 17

Mithali 17:15-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Yeye ambaye huwaachilia watu waovu au kuwalaumu wale wanaotenda haki - watu hawa wote ni chukizo kwa Yehova.
16Kwa nini mpumbavu alipe fedha kwa kujifunza hekima, wakati hana uwezo wa kujifunza?
17Rafiki hupenda kwa nyakati zote na ndugu amezaliwa kwa ajili ya nyakati za taabu.
18Mtu asiyekuwa na akili hufanya ahadi zenye mashariti na kuanza kuwajibika kwa madeni ya jirani yake.

Read Mithali 17Mithali 17
Compare Mithali 17:15-18Mithali 17:15-18