Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 16

Mithali 16:5-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Yehova anamchukia kila mtu mwenye moyo wa majivuno, ingawa wanasimama imara, hawakosi kupata adhabu.
6Kwa agano la uaminifu na udhamini uovu husafishwa na kwa kumcha Yehova watu hujitenga na ubaya.
7Njia za mtu zinapompendeza Yehova, huwafanya hata adui zake huyo mtu wawe na amani naye.
8Bora kitu kidogo pamoja na haki, kuliko mapato makubwa pamoja na udhalimu.

Read Mithali 16Mithali 16
Compare Mithali 16:5-8Mithali 16:5-8