Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 16

Mithali 16:10-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Mshauri yupo katika midimo ya mfalme, katika hukumu kinywa chake hakisemi kwa udanganyifu.
11Vipimo vya kweli hutoka kwa Yehova; uzito wote kwenye gunia ni kazi yake.
12Wafalme wanapofanya mambo maovu, hicho ni kitu cha kudharauliwa, kwa maana utawala huimarishwa kwa kutenda haki.

Read Mithali 16Mithali 16
Compare Mithali 16:10-12Mithali 16:10-12