Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 15

Mithali 15:29-32

Help us?
Click on verse(s) to share them!
29Yehova yupo mbali na watu waovu, bali husikia maombi ya wale watendao haki.
30Nuru ya macho huleta furaha moyoni na habari njema ni afya kwenye mwili.
31Kama utazingatia wakati mtu anapokurekebisha jinsi ya kuishi, utabaki miongoni mwa watu wenye busara.
32Yeye anayekataa karipio hujidharau mwenyewe, bali yule asikilizaye masahihisho hujipatia ufahamu.

Read Mithali 15Mithali 15
Compare Mithali 15:29-32Mithali 15:29-32