Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 15

Mithali 15:28-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
28Moyo wa yule atendaye haki hutafakari kabla ya kujibu, bali kinywa cha watu waovu humwanga ubaya wake wote.
29Yehova yupo mbali na watu waovu, bali husikia maombi ya wale watendao haki.

Read Mithali 15Mithali 15
Compare Mithali 15:28-29Mithali 15:28-29