Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 15

Mithali 15:15-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Siku zote za watu waliokandamizwa ni taabu, bali moyo wenye furaha unakaramu daima.
16Bora kitu kidogo pamoja na kumcha Mungu kuliko hazina kubwa pamoja na ghasia.
17Bora mlo wenye mboga kukiwa na upendo kuliko kuandaliwa ndama aliyenona kwa chuki.
18Mtu mwenye hasira huchochea mabishano, bali mtu ambaye hukawia kukasirika hutuliza ugomvi.

Read Mithali 15Mithali 15
Compare Mithali 15:15-18Mithali 15:15-18